MAMBO 6 YANAYOIBA FURAHA YAKO.

MAMBO 6 YANAYOIBA FURAHA YAKO.

Jiunge na Mtandao Huu Uwe Unapokea makala nzuri kama hii moja kwa moja kwenye email yako Weka email Yako hapa Habari Rafiki, natumaini unaendelea vyema na kupambana ili Ndoto yako itimie. Usikubali kabisa kuishia njiani, wako wengi wanakutazama na watakuja kunufaika sana na hicho unachokifanya. Leo tunajifunza mambo sita ambayo yamekuwa yanaiba furaha yako bila…

#KONA YA BIASHARA: Unachoweza Kufanya Ni Kipi?         

Unaweza kuwa na sababu za kila aina zinazoelezea kwanini hadi sasa huna unachokifanya au hujamiliki biashara yako. Swali langu kwako litakuwa ni unachoweza kufanya ni kipi? Tukiacha hizo sababu unazotoa je hakuna hata kitu kimoja kidogo unaweza kufanya? Hakuna kweli? Hakuna unachojua Zaidi ya wengine hapo mtaani kwenu kweli? Hakuna biashara inayoendeshwa hovyo hovyo hapo…

HATUA YA 326: Wanakuonesha Wanachotaka Uone.

Kwenye dunia ya sasa ya mitandao ya kijamii imekuwa ni rahisi sana kuweza kumtafuta mtu yeyote na kuona mambo mbalimbali anayoyafanya. Ni rahisi sana kujua vitu kuhusu watu hao lakini sio rahisi kuujua ukweli kuhusu wao. Watu wengi wamekuwa wanatengeneza picha mbalimbali za watu kutokana na yale walioona kwenye mitandao. Ni rahisi kutengeneza picha Fulani…

#HEKIMA YA LEO: Tofauti Kukosolewa kwa Uzuri na Kukatishwa Tamaa.

Ushawahi kuona mtu amefanya jambo kwa kujiamini sana sasa katika kujiamini kwake kupita kiasi akajikuta haoni hata makossa yake. Inapotokea watu ambao wanamtazama wakamwambia kwamba hapo unakosea, usifanye hivyo fanya hivi. Yeye anaanza kuchukia na kuona kwamba ameonewa, au wale watu wanaomwelekeza wanamwonea wivu. Ukitaka kusonga mbele na kukua Rafiki yangu lazima uweze kutofautisha kati…

Sababu kumi za kwanini unahitaji watu ili kufanikiwa maishani

Umeshawahi kuangalia mashindano yoyote? Au sherehe za ugawaji wa tunzo?/ Bai kama umewahi kuangalia kuna kitu ambacho kinajirudia kwa watu wote wanaoshinda. Huwa wanatoa insha ndefu na kutaja majina ya watu waliowasaidia kufika hapo walipo, na wakati mwingine huwa wakilia kwa furaha ya jinsi hao watu walivyohusika katika ushindi wao wa hiyo tunzo au hayo…

HATUA YA 325: Ukisikia Biashara Inalipa Sana…

Imekuwa ni kawaida sana kusikia watu wanasema biashara fulani inalipa sana au fursa Fulani ukifanya lazima utoke. Ndio inawezekana ni kweli ukifanya utatoka, mfano ni msimu ambao mahindi ya kuchoma yanahitajika sana mjini halafu hayapo. Ukiingia kwenye hiyo fursa na ukaweza kuyapata mahindi kwa bei rahisi ukaja kuyauza kwa bei ghali unajikuta umepata pesa ya…

HATUA YA 324: Hakuna Anaejali, Kuliko Unavyotakiwa Kujali.

Ulishawahi kufanya jambo halafu matarajio yako yalikuwa ni watu wakuzungumzie au wakujali sana lakini ukaja kukuta hakuna hata anaehangaika na wewe? Hii inatokana na pale unapofanya jambo ili uonekane au usifiwe na mwisho wa siku unakuja kugundua kwamba wale ambao unawafanyia wala hawakufikirii. Usije ukapoteza muda wako kufanya vitu ili upate sifa Fulani, au uonekane…

Jacob Mushi

Afya, Hekima na Utajiri

Skip to content ↓