USIPOCHUKUA HATUA, WENGINE WATAICHUKUA

USIPOCHUKUA HATUA, WENGINE WATAICHUKUA

Mwaka 2016/17 nikiwa Arusha, mimi na rafiki yangu tulipata wazo kubwa: kutengeneza app au mfumo wa kusaidia watu kukata tiketi za mabasi mtandaoni, mkoa kwa mkoa. Tulikaa kwenye hoteli maarufu Palace Hotel, tukapanga kila kitu kwa kina, na kuandika yote kwenye notebook ambayo bado ninayo hadi leo. Tulianza hatua za awali: kutafuta takwimu za idadi…

Kama Ungefanya Uamuzi Huu Mwaka 2020, Leo Ungekuwa Milionea

Kama Ungefanya Uamuzi Huu Mwaka 2020, Leo Ungekuwa Milionea

Mwaka 2020 ulikuwa wa changamoto nyingi, lakini pia ulikuwa na fursa nyingi sana kwa wale waliokuwa tayari kuchukua hatua. Wengi wetu tulikuwa tunahangaika na hofu, hatari, na kutokujua mustakabali, ila wapo waliothubutu kufanya maamuzi madogo yaliyowaletea matokeo makubwa miaka michache baadaye. Leo nataka tukumbuke mfano rahisi wa uwekezaji ambao ulionekana mdogo, lakini ulikuwa na nguvu…

Unataka Watu Wakusaidie? Hii Ndiyo Siri Wanayokuficha…

Unataka Watu Wakusaidie? Hii Ndiyo Siri Wanayokuficha…

Mara nyingi tumefundishwa maneno haya: “Hakikisha unazungukwa na watu ambao siku ukiwa na shida ya milioni moja, ukipiga simu moja tu uwe umeipata.”Ni kweli kabisa, kuwa na mtandao wa watu wenye msaada ni jambo muhimu. Lakini kuna jambo ambalo hatufundishwi mara nyingi — kuwa mtu wa thamani kwa hao watu tunaowazunguka. Kwa nini hili ni…

537; Ingia Ndani Zaidi..

537; Ingia Ndani Zaidi..

Watanzania wengi ni wavivu sana kusoma, kabla hujaamini picha ya kichwa cha habari inayosambazwa jaribu kutafuta habari nzima uisome na uelewe. Vichwa vingi vya habari huandikwa kwa namna ya kuvuta wasomaji na bahati mbaya sana wengi wenu huishia kusoma kichwa tu na kufikia hitimisho. Usiwe mwepesi pia kuamini kila kilichoandikwa kwasababu kwenye ulimwengu wa sasa…

HATUA YA 342: Unaemngoja Anakungoja Wewe.

Inawezekana kuna mtu unamngoja aje afanye jambo kwenye Maisha yako ili yabadilike. Inawezekana kwenye akili yako unasubiri ipo siku mambo yatakaa sawa na kuwa marahisi Zaidi ya sasa. Inawezekana pia kuna muujiza Fulani unautegemea kwenye akili yako utokee ndio kila kitu kibadilike kwenye Maisha yako. Napenda kukwambia Rafiki huyo unaemngoja afanye yote hayo anakusubiri wewe…

#HEKIMA YA LEO: Vidogo Vyenye Manufaa..

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Kwenye mtihani shuleni tulikuwa tunaambiwa yale maswali ambayo unayaweza ndio unatakiwa…

#HEKIMA YA JIONI: Kuchukua Hatua.

Hatuhitaji watu wengi wanaoweza kulielezea jambo Fulani vizuri bali tunahitaji watu wachache wanaoweza kuchukua Hatua juu ya jambo husika. Tuna upungufu wa watu wanaochukua Hatua ndio maana hatuna maendeleo.   Badala ya kuendelea kuongea maneno matupu fanya kile kilichopo kwenye uwezo wako kwanza. Kwa kupitia hicho ndio utaona uwezekano wa kufanya makubwa Zaidi. Tuna wengi…

KONA YA BIASHARA: Yajue Mapungufu Yako.

Ni vyema kwa kila mmoja akaweza kutambua ni wapi ana mapungufu na kuyafanyia kazi kabla hayajaleta madhara kwenye kazi. Kila binadamu ana mapungufu yake ndio maana haupo mwenyewe huku duniani. Kuna sehemu unateleza na yupo mtu ataweza kuwa msaada wako. Unapoyajua mapungufu yako unajipa nafasi ya ushindi mzuri kwenye biashara yako. Ukae ukijua kwamba mapungufu…

HATUA YA 292: Ni Rahisi Sana Lakini…

Ni rahisi sana kulalamika Maisha ni magumu, Ni rahisi sana kutoa sababu nyingi zilizofanya ushindwe, Ni rahisi sana kuendelea kuishi Maisha yale yale uliyoyazoea, Ni rahisi sana kutumia muda wako kufanya mambo ambayo hayana mchango wowote kwenye Maisha yako. Ni rahisi sana kutumia muda wako kufuatilia Maisha ya wengine na huku ukiwa umeyasahau ya kwako.…

USITAZAME LEO

Leo vita ni vingi sana, Leo hakuna mavuno bado. Leo wanakusema wengi Leo inaonekana kama ni ngumu sana. Leo inaonekana kama utakwenda kushindwa. Leo inakatisha tamaa sana. Leo unatoka jasho jingi sana. Leo unatumia nguvu nyingi sana.   Ukitazama leo utakata tamaa Ukitazama leo utarudi nyuma. Ukitazama leo utayaona magumu. Itazame ndoto yako. Yatazame mazao…