Ikifika mahali kila unachokifanya hutaki kusikiliza wengine, kushauriwa wala kukosolewa ujue kwamba unalolifanya umeshapotea njia. Hii ni kwasababu karibu kila tunalolifanya hatufanyi kwa ajili yetu bali kwa ajili ya wengine. Haijalishi wewe una kipaji kikubwa kiasi gani unaimba vizuri sana haujiimbii wewe mwenyewe unaimba ili watu wasikie kile unachokitoa. Kama umefikia sehemu ambayo wale ambao…
All posts tagged mafanikio
#HEKIMA YA JIONI: Kusudi la Mungu na Kusudi La Mwanadamu.
Mungu ametuumba na akatuleta duniani kwa makusudi yake yeye mwenyewe. Pamoja na hayo bado kuna watu ambao hawajaweza kutambua makusudi ya wao kuwepo hapa duniani. Niliwahi kusema kwamba chanzo cha maovu mengi yanayoendelea hapa duniani ni kutokana na watu wengi kuishi Maisha ambayo sio ya kwao yaani kutokutambua kwanini wapo hapa duniani. Mungu hajakuumba uje…
JINSI YA KUGUSA MAISHA YA WENGINE NA KUFIKIA MAFANIKIO.
Habari rafiki, leo tunakwenda kuona njia za kugusa maisha ya wengine ili tuweze kufikia mafanikio ya kweli. Kwenye kila kitu ambacho Mungu ameweka ndani yako ni kwa ajili ya wengine. Kama utaweza kukitumia vyema utakuwa umeweza kuyasaidia maisha yako mwenyewe. Maana ya kugusa maisha ya wengine. Kugusa Maisha ya wengine ni kile kitendo cha kuongeza…
#HEKIMA YA JIONI: Fanya Mabadiliko ya Kudumu.
“If you want to make a permanent change, stop focusing on the size of your problems and start focusing on the size of you!” T. Harv Eker Harv Eker Mwandishi wa Kitabu cha The Secret on the Millionaire Mind anasema ukitaka kuleta mabadiliko ya kudumu acha kutumia nguvu nyingi kwenye ukubwa wa matatizo yako na…
HATUA YA 298: Uaminifu Huu Umezidi Yote.
Wakati ambao hakuna mtu wa kukufuatilia wala kukupangia cha kufanya ndio tunaweza kujua ufanyaji wako wa kazi ukoje. Ile bidi utakayoionyesha kwenye kazi na hakuna mtu anaekutazama ndio bidi yako halisi. Vile vile kwenye mambo mengine, kama wewe haupo kwenye mahusiano zile tabia ambazo unakuwa nazo kipindi hicho ndio tabia zako halisi. Kama umekuwa mtu…
HUU NDIO UKWELI ULIKUWA HUUJUI JUU YA PESA.
Habari za Leo Rafiki yangu wa Muhimu sana. Wewe ni rafiki yangu wa muhimu sana kwakuwa ndie unanifanya niandike. Naandika ili usome unufaike na maisha yako yawe bora zaidi! Ni furaha yangu kujua unaendelea vyema sana na majukumu yako. Ni wakati mwingine tena tunaenda kujifunza pamoja juu ya mambo mbalimbali ili tuweze kufikia mafanikio kila…
HATUA YA 297: Kuwa Mjinga, Kisha Jiamini.
“All you need in this life is ignorance and confidence; then success is sure.” ― Mark Twain Samuel Langhorne Clemens ambaye anajulikana zaidi kwa jina la Mark Twain aliwahi kusema; kitu ambacho unakihitaji kwenye Maisha yako ili ufanikiwe kwa hakika ni ujinga na ujasiri. Hii ina maana ya kwamba wewe ukubali kwamba hujui chochote halafu uwe…
#HEKIMA YA JIONI: Aina Mbili Za Wakatishaji Tamaa.
Unapokuwa na Ndoto kubwa na shauku ya kwenda kuitimiza kuna watu wengi sana wanaweza kujitokeza kwenye Maisha yako kama washauri na wenye maoni yao juu ya kile unachotaka kufanya. Watu hawa wanaweza kuwa marafiki wa karibu na ndugu zako wa damu kabisa. Wote hawa wanaweza kutoa maoni yao juu ya kile unachokifanya kwa namna mbalimbali.…
HATUA YA 296: Vile Unavyofikiri Juu ya Vitu Ndio Inaamua Furaha au Huzuni.
Very little is needed to make a happy life; it is all within yourself, in your way of thinking. -Marcus Aurelius. Mwanafalsafa huyu anatuambia ni vitu vidogo sana vinakukuhitaji ili uwe na furaha ya Maisha, na vitu hivyo vipo ndani yako katika namna unavyofikiri. Furaha au huzuni hailetwi na matukio yanayotokea bali ni namna ambavyo…
HATUA YA 295: Hakuna Chenye Thamani Kinachopatikana Bila..
I never did anything worth doing by accident, nor did any of my inventions come by accident; they came by work. Plato Sijafanya kitu chochote kilicho cha thamani katika kufanya kwa ajali, wala hakuna uvumbuzi wangu uliokuja kwa ajali; vyote vilikuja kwa kufanya kazi. Plato Hii inatuonyesha kwamba chochote kile ambacho unafikiri kina thamani kubwa…