USIPOCHUKUA HATUA, WENGINE WATAICHUKUA

USIPOCHUKUA HATUA, WENGINE WATAICHUKUA

Mwaka 2016/17 nikiwa Arusha, mimi na rafiki yangu tulipata wazo kubwa: kutengeneza app au mfumo wa kusaidia watu kukata tiketi za mabasi mtandaoni, mkoa kwa mkoa. Tulikaa kwenye hoteli maarufu Palace Hotel, tukapanga kila kitu kwa kina, na kuandika yote kwenye notebook ambayo bado ninayo hadi leo. Tulianza hatua za awali: kutafuta takwimu za idadi…

Kama Ungefanya Uamuzi Huu Mwaka 2020, Leo Ungekuwa Milionea

Kama Ungefanya Uamuzi Huu Mwaka 2020, Leo Ungekuwa Milionea

Mwaka 2020 ulikuwa wa changamoto nyingi, lakini pia ulikuwa na fursa nyingi sana kwa wale waliokuwa tayari kuchukua hatua. Wengi wetu tulikuwa tunahangaika na hofu, hatari, na kutokujua mustakabali, ila wapo waliothubutu kufanya maamuzi madogo yaliyowaletea matokeo makubwa miaka michache baadaye. Leo nataka tukumbuke mfano rahisi wa uwekezaji ambao ulionekana mdogo, lakini ulikuwa na nguvu…

MAMBO 10 UNAYOFANYA KILA SIKU YASIYO NA MSAADA WOWOTE KWENYE MAISHA YAKO

MAMBO 10 UNAYOFANYA KILA SIKU YASIYO NA MSAADA WOWOTE KWENYE MAISHA YAKO

Katika maisha, kila mtu ana saa 24 kwa siku, lakini tofauti ya mafanikio kati ya watu hutegemea jinsi wanavyotumia muda wao. Kuna mambo mengi tunayoyafanya kila siku ambayo hayana msaada wowote kwenye maendeleo yetu ya kiuchumi, kielimu, na hata kiafya. Hapa nakuletea mambo 10 ambayo huenda unayafanya kila siku lakini hayakusaidii chochote—na mbadala wake utakaoleta…

537; Ingia Ndani Zaidi..

537; Ingia Ndani Zaidi..

Watanzania wengi ni wavivu sana kusoma, kabla hujaamini picha ya kichwa cha habari inayosambazwa jaribu kutafuta habari nzima uisome na uelewe. Vichwa vingi vya habari huandikwa kwa namna ya kuvuta wasomaji na bahati mbaya sana wengi wenu huishia kusoma kichwa tu na kufikia hitimisho. Usiwe mwepesi pia kuamini kila kilichoandikwa kwasababu kwenye ulimwengu wa sasa…

516; Nimegundua Njia ya Kutatua Tatizo lako la Kutofikia Malengo Yako Ya Kifedha.

Habari Rafiki, unajua matatizo mengi uliyonayo yanasababishwa na ukosefu wa fedha za kutosha. Na kinachosababisha haya yatokee kwako ni wewe pale unapokosa vitu vichache sana vya kufanyia kazi. Leo nakwenda kukuonesha suluhisho la tatizo lako la kutokufikia malengo ya kifedha. Ni kweli inawezekana kabisa Januari yam waka 2021 ikawa njema Zaidi kwako kwasababu tu utaweza…

HEKIMA YA LEO: Usiyafanye Maisha Yako Kuwa Magumu (Sehemu ya 2)

Ugumu wa Maisha wa Kujitakia. Ni vizuri ukatambua kwamba ili uweze kufika viwango vya juu Zaidi ya hapo ulipo sasa hivi lazima ukubali kufanya maamuzi magumu. Maisha yako hayatakiwi kuwa magumu Zaidi ya inavyotakiwa, wewe mwenyewe kuna sehemu umesababisha kuongezeka kwa ugumu. Kushindwa kufanya maamuzi magumu lazima itakugharimu ugumu Zaidi wa Maisha yako. Upo kwenye…

KONA YA BIASHARA: Ukipoteza Hii Inakuja Nyingine.

Kuna nyakati kwenye Maisha unaweza kujiona umepoteza vitu vikubwa sana na ukaanza kuona kama Maisha hayana maana tena. Unachopaswa kutambua ni kwamba kila kinapoondoka kitu basi kuna kitu kingine kipya kinatokea. Mti unapokauka unakuwa umetoa nafasi kwa miti mingine mingi midogo kukua vizuri. Chochote kinachoondoka kwenye Maisha yako kinatengeneza nafasi iliyowazi kwa ajili ya vitu…

KONA YA BIASHARA: TABIA ZA KUKUWEZESHA KUFIKIA MAFANIKIO NA BIASHARA YAKO

Mwaka ndio huoo unakwisha umefikia wapi na malengo yako? Yaani ndio hivyo mwaka unaishaga ni sekunde moja inacheza na kutengeneza dakika na dakika nayo inakwenda hadi masaa 24. Kunakuwa asubuhi, mchana, jioni na hatimaye usiku siku inapita. Hivyo ukidhani kuna kitu cha tofauti kwenye mwaka mpya utakuwa unakosea. Utofauti wa mwaka unaweza kuwa ni majira…

KONA YA BIASHARA: Unaona Nini?

Chochote unachokifanya sasa hivi kwenye biashara yako lazima kiwe kinafuata ile picha kubwa uliyokuwa unaijenga wakati unaanza. Usikubali kutoka nje ya picha ile hata kama mambo yanakwenda magumu sana. Endelea kuitazama ile picha ikupe hamasa Zaidi. Unapopitia magumu huwa unaona nini? Watu wengi huona kushindwa, kufilisika, kuanguka kibiashara, lakini leo nataka ubadili namna unavyoona wakati…

KONA YA BIASHARA: Sababu za Kudumu na Sababu za Msimu.

Nimekuwa nakutana na watu wengi wanatamani sana kuingia kwenye biashara ukija kuwauliza ni kitu gani hasa kinawasukumu waingie watakwambia kuna matatizo Fulani wanataka wayatatue. Sasa watu wa aina hii wanakuwaga ni majanga sana kwasababu ataanza baada ya muda Fulani watu wamemzoea hivi yeye anakuwa amemaliza shida zake anaacha biashara. Vilevile anaweza kukutana na changamoto kidogo…

Subscribe