JINSI YA KUEPUKA MADENI MABAYA NA KUFIKIA UHURU WA KIFEDHA

JINSI YA KUEPUKA MADENI MABAYA NA KUFIKIA UHURU WA KIFEDHA

SEMINA JANUARY 2017 SIKU YA KWANZA JINSI YA KUEPUKA MADENI MABAYA Haijalishi upo kwenye madeni makubwa kiasi gani bado una nafasi ya kutoka na kuanza safari ya kuelekea kwenye uhuru wa kifedha. Ili upate mabadiliko kwenye Maisha yako sio mpaka ufundishwe na mtu aliefanikiwa sana. Unachotakiwa wewe ni kuchukua mafundisho yaliyo sahihi na kuyafanyia kazi…

HATUA YA 363: Wote Tunatazama, Tunatofautiana Kuona.

Tunaweza kutazama mti kwa pamoja lakini kila mmoja akauona kwa mtazamo wake wa tofauti. Kuna ambaye ataona mti kama mti tu, mwingine ataona kuni, mwingine ataona mbao, mwingine ataona matunda, mwingine ataona kivuli. Kile kilichopo ndani yako na uhitaji wako ndio kinafanya uvione vitu katika namna ya tofauti na wengine. Hii ndio maana unaweza kuwapa…

HATUA YA 362: Tabia Yako Ya Halisi Ni Hii Hapa.

Unaweza kukutana na mtu akakufanyia kila jambo zuri na mengine hujawahi kufanyiwa na mtu mwingine yeyote hapa duniani. Utajisikia rah asana na kumuona ni mtu wa kipekee sana kuwahi kutokea kwenye Maisha yako. Endapo wengine wataulizia kuhusu mtu huyo unaweza kumwaga sifa nyingi sana juu yake. Sasa hili ndio nataka ufahamu inawezekana mtu akakutendea kila…

HATUA YA 361: Ushindi Mdogo ni Hamasa ya Kufikia Ushindi Mkubwa.

Vile vitu vidogo vidogo unavyofanya na ukafanikiwa ndio vinakupa hamasa ya kufikika ushindi mkubwa. Kama utakuwa unadharau mambo madogo madogo ni rahisi kwamba huwezi kuyafikia makubwa. Unawezaje sasa kuwa na ushindi mdogo? Siku zote ushindi mdogo huanza asubuhi na mapema. Ukifanikiwa kuamka mapema kabla ya wengine maana yake wewe ni mshindi. Umeshinda usingizi, umefanikiwa kuamka…

HATUA YA 359: Umeifahamu Malighafi Sahihi?.

Tumekuwa na watu ambao wanapenda vitu ambavyo vipo tayari tayari. Kila wanachokitaka wanataka kiwe tayari kimeshakamilika na wao waanze kutumia tu. Ukweli ni kwamba tangu mwanzo tunaona asili ya vitu vingi ambavyo vinaonekana ni vichache ambavyo vimekuwa vimekamilika. Kila ambacho umekuwa unakitamani au unataka kukimiliki ni lazima ukubali kufuata mchakata wa kutengeneza. Unataka mke/mume mwenye…

HATUA YA 358: Hiki Ndio Kitu Pekee Kinachopatikana Bila Bidii

Majani yanayojiotea yenyewe kwenye mashamba ambayo hayajapandwa kitu au hata yale yaliyopandwa mar azote huwa ni kwa ajili ya viumbe wengine ambao hawana uwezo wa kujitengenezea chakula chao binafsi. Hii ndio asili na ndio maana popote pale penye udongo mzuri ukipaacha bila ya kupanda chochote patatokea majani ya aina mbalimbali. Wewe kama binadamu ni aina…

Jacob Mushi

Afya, Hekima na Utajiri

Skip to content ↓