HATUA YA 371: Fanyia Kazi Kilichopo Mbele Yako.

Hakuna kitu kibaya sana ambacho kinawafanya watu washindwe kwenda mbele kama historia mbaya ya Maisha yao. Mfano wewe kwenu tangu umezaliwa umekuwa unaimbiwa wimbo wa sisi ni maskini, kwetu hawajasomaga hata mmoja, kwetu hakuna mtu mwenye akili. Maisha yako yote yanakuwa yakiifuata ile historia ambayo umekuwa unaambiwa. Inawezekana umeshindwa kufanya vizuri kwenye vitu vingi maishani…

HATUA YA 370:  Mtu wa Ndani na Mtu wa Nje.

Mtoto mdogo ndio binadamu pekee ambaye kile anachokifanya unaweza kuamini anakimaanisha kabisa. Hii ni kwasababu mtoto anakuwa hajajua chochote juu ya ukweli wala uongo, hajui kudanganya wala kuficha kitu. Mtoto mdogo ana Maisha yasiyo na hila ndani yake, anaishi kwa uhuru mkubwa kuliko binadamu wengine ambao tayari tumeshaingiza chachu ndani yetu. Kiwango hiki ndio kiwango…

HATUA YA 369: Usiuze Utu Wako.

Katika Muda mchache ambao nimekuwepo hapa duniani, kuna aina ya watu mbalimbali ambao nimeshakutana nao. Kuna aina ya tabia ambazo nimeziona zimekuwa zinanishangaza sana na wakati mwinginze zimekuwa zinasikitisha sana. Kuna aina ya tabia ukiwa nazo unaweza kujikuta umeuza utu wako na ukakosa kabisa umiliki wa Maisha yako. Wapo watu wengi ambao ninawafahamu wamekuwa na…

HATUA YA 366: Hakuna Hali Yeyote Inayodumu Kwenye Maisha Yako.

Maisha ni muunganiko wa matukio ya aina mbalimbali ambayo yanaendelea kila siku. Kuna nyakati utakuwa na furaha sana na kila unalolifanya linaleta matokeo yale uliyokuwa unayataka. Kuna nyakati mambo yatakuwa ni mabaya changamoto nyingi na utatakiwa uwe unawaza sana. Unachotakiwa kutambua ni kwamba yote hayo ndio Maisha. Haujawahi kuambiwa kwamba Maisha yatakuwa ni marahisi na…

HATUA YA 365: Hata Ukifika Mbinguni Ukarudi Bado Kuna Ambao Hawataamini.

Katika Maisha yako usikubali kuwa mtumwa wa kufanya vitu ili watu wakuamini au wakuthamini au wakukubali. Chochote kile unachokifanya sababu ya kwanza inatakiwa kuwa ni moyo wako uwe unapata furaha, sababu ya pili iwe ni kuna Maisha ya mtu unayasababisha yawe bora. Haya mengine yote ambayo yanakuja huku Njiani kama kusifiwa, kujulikana sana, kupongezwa, kupewa…

HATUA YA 364: Jambo Hili Naomba Usilisahau.

Kuna mtu mmoja aliniambia Jacob naona mnataka kuwabadilisha watu waanze kufikiri kwamba ugumu wa Maisha yao wameusababisha wenyewe. Mbona kama mnataka kuwadanganya? Kuna vitu vingi sana vinahusika kuyafanya Maisha yawe magumu sio mtu binfsi pekee. Mimi sijakataa hilo lakini nataka ufahamu kwamba pamoja na watu wengine kusababisha ugumu wa Maisha yako, pamoja mifumo mibovu, pamoja…

Jacob Mushi

Afya, Hekima na Utajiri

Skip to content ↓