Mara nyingi tumefundishwa maneno haya: “Hakikisha unazungukwa na watu ambao siku ukiwa na shida ya milioni moja, ukipiga simu moja tu uwe umeipata.”Ni kweli kabisa, kuwa na mtandao wa watu wenye msaada ni jambo muhimu. Lakini kuna jambo ambalo hatufundishwi mara nyingi — kuwa mtu wa thamani kwa hao watu tunaowazunguka. Kwa nini hili ni…

