Katika maisha, kila mtu ana saa 24 kwa siku, lakini tofauti ya mafanikio kati ya watu hutegemea jinsi wanavyotumia muda wao. Kuna mambo mengi tunayoyafanya kila siku ambayo hayana msaada wowote kwenye maendeleo yetu ya kiuchumi, kielimu, na hata kiafya. Hapa nakuletea mambo 10 ambayo huenda unayafanya kila siku lakini hayakusaidii chochote—na mbadala wake utakaoleta…







