Habari Rafiki nimekuwa na utaratibu wa kukuandikia mambo niliyojifunza kila mwaka na mwaka huu hii ndio mojawapo ya mambo ya muhimu kabisa niliyojifunza na ningependa nikushirikishe na wewe. 1 Hakuna kisichowezekana usiipe akili yako kikomo au kusema mimi siwezi hiki. 2 Usipofanya maamuzi magumu hutatoka hapo ulipo hata siku moja. 3 Penda kujaribu vitu ambavyo…
