HATUA YA 14; UNA NGUVU NDANI YAKO.

Una nguvu kubwa sana ndani yako. Inawezekana hujawahi kuambiwa hata siku moja. Leo ninakwambia ipo nguvu ndani yako ya kushinda yote ambayo unayapitia sasa. Ipo ngvuvu ndani yako ya kukuwezesha kufikia yale yote unayoyataka. Haijalishi sasa hivi unaona giza. Au unapitia magumu kiasi gani. Tumia uwezo ulio ndani yako kuzishinda changamoto unazopitia sasa. Una nguvu…

JINSI YA KUMALIZA MWAKA KWA USHINDI.

Habari za Leo mwanamafanikio?  Siku kuu imekwenda vyema kwangu. Natumaini na kwako pia. Ni siku chache zimebaki katika mwaka  lakini tukiweza kuzitumia vyema tutaacha alama ndani ya mwaka huu.   Usikubali kabisa kutumia muda huu hovyo Tafuta jambo dogo tu la tofauti ulifanye Zikiwa zimebaki takribani siku nne peke yake tumalize mwaka huu napenda kukwambia…

HATUA YA 13; Ipo Siku.

Hapo zamani kabla ya kutambua ni kitu gani natakiwa kufanya ili nifikie Mafanikio nilizoea kusema ipo siku ndoto yangu itatimia. Ni maneno mazuri sana na ya kutia Moyo lakini kama hakuna unachofanya hiyo ndoto itabakia kuwa ndoto. Ipo siku utatambua haya ninayosema ni Kweli. Huwezi kusubiria mazao wakati hakuna shamba lolote ulilootesha mbegu. Ili neno…

HATUA YA 12; Wewe Rafiki Yangu.

Wewe ni Rafiki Yangu hivyo lazima wakati wote niwe nakwambia Ukweli. Ukweli ni kwamba usipokubali kubadilika mwaka 2017 utakua mgumu zaidi. Wewe Rafiki Yangu usiopoacha kuishi maisha yako halisi utaishia kuteseka moyoni mwako kwa kuwaridhisha wengine. Wewe Rafiki yangu acha kuwa mzembe kila siku nakwambia kusoma vitabu ni muhimu sana lakini unahisi nakutania. Lakini ipo siku…

HATUA YA 10; Tafuta sababu ya Tatizo

Kila kinachotokea Maishano mwako kinatokea Kwasababu.  Changamoto yeyote unayopitia ipo Kwasababu. Ugumu wa Maisha unaopitia upo Kwasababu. Ukosefu wa pesa ulionao upo Kwasababu. Kuachwa na umpendae imetokea Kwasababu. Kudharauliwa kumetokea Kwasababu. Kusemwa kunatokea Kwasababu. Hakuna kinachotokea kwa Bahati mbaya hata siku moja. Kuna sababu nyuma ya lolote linalotokea. Umefanikiwa Kwasababu ulifanya kazi kwa bidii. Badala…

HATUA YA 8; UADILIFU

Uadilifu ni kitu cha muhimu sana kwenye Maisha yetu ili kutuwezesha kujenga historia nzuri. Watu wengi wanakosa uadilifu ndio maana biashara zao zinakufa baada ya muda mfupi. Uadilifu ni sifa ambayo itakufungulia milango mingi ya fursa huko mbeleni. Kama utakosa uadilifu katika hatua hizi za mwanzo unaanza kuonyesha picha ya wewe ulivyo na  huko mbeleni…

Jacob Mushi

Afya, Hekima na Utajiri

Skip to content ↓