#HEKIMA YA JIONI: Nafasi Iliyoachwa Wazi.

Siku zote nafasi iliyoachwa wazi ndio inatumika kwa mabaya au mazuri. Kukiwa kuna nafasi iliyoachwa wazi kwenye mahusiano inaweza kusababisha mahusiano kuvunjika endapo atatokea mtu na kujua namna ya kuitumia vyema nafasi hiyo. Nafasi iliyoachwa wazi kwenye biashara inaweza kuwa sababu ya wewe kushindwa kibiashara na mshindani wako endapo ataamua kuitumia vyema na kwa wateja…

WEWE NI MZALISHAJI AU MTUMIAJI/MLAJI?

Kwenye dunia ya sasa kuna vitu vingi sana vinazalishwa kila siku na kila wakati vinagunduliwa vipya. Kitu kimoja kinachonifurahisha zaidi ni kwamba tuna watumiaji wengi sana ambao hawaachi kitu kipya kije bila wao kutumia. Jiulize leo unatumia vitu vingapi na kwa faida gani? Tuanze na mitandao ya kijamii pamoja na vifaa vyake. ⚠Umenunua laini ambayo…

#HEKIMA YA JIONI: Shuka Chini.

Kuna nyakati ukitaka kupanda juu Zaidi ya wengine lazima ukubali kushuka chini. Unakubali kuonekana mtumwa kwa siku chache ili uweze kupata yale ambayo yatafanya Maisha yako ya badae yabadilike kabisa.  Kushuka chini na kunyenyekea haimaniishi ufanye mambo ya hovyo ambayo yanaondoa utu wako bali ni ukubali kufanya mambo halali haijalishi yanaonekana ni ya hadhi ya…

#HEKIMA YA JIONI: Kama Unavyoitaka Pumzi Ndivyo Unavyotakiwa Kuyataka Mafanikio.

Kulikuwa na kijana mmoja alikuwa anataka mafanikio sana. Akamfuata Mentor wake na kumuomba amuelekeze ili na yeye aweze kufanikiwa. Mentor wake akamwambia kesho tukutane ufukweni mwa bahari asubuhi. Yule kijana akajisemea moyoni mwake, “mimi nataka mafanikio na pesa lakini ameniambia tukutane ufukweni kwani nimemuomba anifundishe kuogelea?” akasema tena, “kwa vile nataka pesa na mafanikio nitakwenda.”…

Subscribe