444; #usiishienjianileo: Linda Sana Moyo Wako.

Habari Rafiki, ninayofuraha kukujulisha kwamba Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Watakaofanya mambo makubwa leo hawana siku ya tofauti sana na wewe bali watafanya vitu vya tofauti kwenye siku hii. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “MIMI NI MSHINDI SIKU…

443; SIKU MPYA. AKILI MPYA, NGUVU MPYA, MATOKEO MAKUBWA. #usiishienjianileo

Habari Rafiki, ninayofuraha kukujulisha kwamba Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Watakaofanya mambo makubwa leo hawana siku ya tofauti sana na wewe bali watafanya vitu vya tofauti kwenye siku hii. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “MIMI NI MSHINDI SIKU…

442; SIKU MPYA. AKILI MPYA, NGUVU MPYA, MATOKEO MAKUBWA. – Wewe Unajionaje?

Habari Rafiki, ninayofuraha kukujulisha kwamba Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Watakaofanya mambo makubwa leo hawana siku ya tofauti sana na wewe bali watafanya vitu vya tofauti kwenye siku hii. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “MIMI NI MSHINDI SIKU…

SIKU MPYA, AKILI MPYA, NGUVU MPYA.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE. Mungu alijua kabisa Musa angekulia katika familia yake angekuzwa na mtazamo…

SURA YA 440: Usichanganye na Maji.

Miaka kama 10 iliyopita Kulikuwa na bibi mmoja kijijini kwetu alikuwa anauza maziwa fresh. Maziwa yake yalikuwa ni matamu sana na pia masafi hivyo kusababisha watu wengi kuyapenda na kuyasemea vizuri. Kadiri watu walivyoyasemea vizuri ilifika wale waliokuwa wanauza maziwa kama yeye ikabidi wafunge kwa kukosa wateja. Watu Karibu mtaa mzima ulihamia kwake. Bibi yule…

SURA YA 439; Tabia 6 za Kuacha Mara Moja Ili Usonge Mbele.

Kupuuza Vitu. Moja ya tabia ambayo nimekuwa naiona kwa watu wengi na ni mbaya san ani kupuuzia vitu. Yaani unaoneshwa kitu na bado hutaki kuchukua hatua yoyote hata ya kuuliza tu ili upate ufahamu. Kupuuzia kunaletwa na kujiona wewe unajua au kumdharau yule ambaye anataka kukuonesha au kukulekeza kitu. Ukiwa mtu wa hivi ipo siku…