477; Sio Yako Hadi Pale Utakapoitoa Kichwani.

“Kuna kipindi Fulani nilisafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine kikazi. Nilipofikia kwenye familia moja ambayo ilikuwa inanifahamu. Sikuwa nawafahamu sana watu kwenye ile familia Zaidi ya baba mwenye familia ambaye alikuwa mwenyeji wangu. Wakati naendelea kukaa pale nilitokea kuzoeana na binti yake sana hadi nikaanza kuona hisia za upendo. Kiukweli nilikuwa namheshimu sana mzee yule…

476; Unahitaji Watu Zaidi Kuliko Unavyohitaji Pesa.

Mtu Tajiri kuliko wote duniani kwa haraka haraka ukifikiria unaweza kudhani kilichomfanya akawa Tajiri ni pesa zake au akili zake pekee. Ila ukija kutafakari katika upande mwingine unagundua kwamba ukiwa na pesa pekee bila watu utaishia kuzitumia kwa matumizi yako binafsi. Ukiwa na akili nyingi za kugundua vitu halafu huna watu utaishia kugundua tu lakini…

475; Huu ndio Ukosoaji Ninaoupenda.

Mwanzoni simu za smartphone zilipoanza kuja kulikuwa na tatizo kubwa la simu hizo kutokukaa na chaji. Baada ya muda sio mrefu wakaja watu wakaleta Power Bank ambayo inahifadhi chaji. Tatizo linguine likaanza kuonekana kwenye simu hizi ni vioo kupasuka mara kwa mara. Haichukua muda wakaja na Screen Protector. Yaani unanunua simu halafu unakuja tena unanunua…

474; USHAURI: Unapofika Wakati Unaona Maisha Yako Hayana Maana wala Thamani Tena.

Nilikuwa napitia maisha ya mwandishi mashuhuri kutoka Brazil, Paulo Coelho aliendika vitabu vingi kikiwemo cha The Alchemist. Mojawapo ya jambo gumu alilowahi kupitia maishani mwake ni alipokuwa na umri wa ujana yaani miaka ya 18-20 aliwahi kupelekwa hospitali ya vichaa mara tatu na wazazi wake. Wazazi wake waliziona tabia zake na kufikiri ni mtu aliechanganyikiwa…

472; Mbinu za Kuweza Kuwa na Furaha Wakati Wote.

Kuna utafiti ulifanyika wa kidunia ukaja na majibu ya nchi zinazoongoza kwa kukosa furaha duniani. Mojawapo ya nchi iliyotajwa ilikuwa ni nchi ya Tanzania, kwasababu mimi ni mtanzania sikuwa na majibu sahihi wala utafiti wa kupinga hili ila ninaweza kukuandikia wewe mambo machache ambayo unaweza kufanya na yakakuletea furaha binafsi. Watu wengi wamekuwa wanafikiri kwamba,…

469; UsiishieNjiani: Sio Mhamasishaji ni Wewe.

Katika kazi yetu hii ya kushauri, kutia moyo, na kuhamasisha watu huwa tunakutana na changamoto. Mojawapo ya Changamoto kubwa ni pale mtu anapokuuliza wewe umeshafanya nini mpaka unataka kunihamasisha mimi? Yaani mtu anasema ili aweze kusikiliza kile unachomwambia na kukifanyia kazi hadi aone umefanya kitu fulani. Labda tayari una gari, au una maisha fulani hivi…

Subscribe