HATUA YA 251: Madhara ya Kuupuzia Vitu Vidogo Vidogo.

HATUA YA 251: Madhara ya Kuupuzia Vitu Vidogo Vidogo.

Tofali hujengwa kwa mkusanyiko wa punje moja moja za mchanga ambazo unaweza kuzibeba mkononi mwako lakini hujenga tofali ambalo huwezi kulibeba kwa mkono mmoja. Tofali nalo hujenga ghorofa kubwa sana ambalo binadamu na mali nyingi za thamani hukaa humo. Hadi unaliona jengo kubwa la ghorofa linalotokea lilianza kwa mkusanyiko wa punje ndogo sana ya mchanga.…

HATUA YA 250: Mambo 4 ya Kufanya ili Kujenga Mahusiano Bora na Wengine.

Maisha yako hapa duniani ni kwa ajili ya wengine. Haiwezekani ukaishi maisha ya furaha na Amani kama hakuna unachokifanya kwa ajili ya kugusa maisha ya wengine. Tumeumbwa katika maisha ya kutegemeana. Kila mmoja anamhitaji mwenzake ili maisha yake yawe bora. Daktari hawi daktari ilia je ajitibu yeye ila ni kwa ajili ya maisha ya wengine.…

HATUA YA 249: Kwanini Unahitaji Watu wote? (Wanaokupenda na Wasiokupenda)

#SITAISHIA_NJIANI ✈-Napiga hatua kuelekea mafanikio yangu. ❗-Navumilia kila hali na changamoto nitakayopitia njiani. ?-Najifunza kila siku na kuweka kwenye matendo yale ninayojifunza. ??-Naweka juhudi na bidii kwenye kila ninachokifanya kwa mikono yangu. Mafanikio ni Haki Yangu. Eeh Mungu niwezeshe. ?Mimi ……… Unawahitaji watu wote kwenye maisha yako kwasababu kila mtu ana jambo akilifanya kwako lin…

HATUA YA 248:  Unaambatana na Nani?

Ni bora mara elfu kukaa ndani peke yako kuliko kuambatana na marafiki wapumbavu. Ni bora kuishi ndani ya nyumba peke yako kuliko kujichanganya na makundi yasiyofaa. Haijalishi una maono makubwa kiasi gani, au ndoto kubwa kiasi gani unaweza kuharibu mwelekeo wako kwa kupitia aina ya makundi unayoambatana nayo. Kuna watu hawakufai hata kidogo kwenye maisha…

HATUA YA 247: Watu Wanapenda Hali Walizozizoea.

Unajua ni kwanini watu hawapati mabadiliko kwenye maisha yao? Au wakianza jambo Fulani baada ya muda mfupi wataacha na kurejea katika hali ile ya kawaida? Inawezekana na wewe ni mmoja wa watu wa aina hiyo unapaswa kutambua kwamba binadamu wanaogopa mabadiliko. Ndio maana ukitaka kutoka kwenye hali ambayo upo kuna watu wataanza kukupinga na kukukatisha…

HATUA YA 246: Ukweli Unauma.

Ukitaka watu wakuchukie waambie ukweli. Ukitaka kupingwa na kila mtu simamia ukweli. Ukitaka kupata wafuasi wachache wewe simamia ukweli wale wanaopenda kudanganywa wataona huwafai. Mara nyingi jambo ambalo linapata wafuasi wengi sana kwa haraka huwa najaribu kuangalia kwa macho ya ziada kama ni la kweli kwasababu wengi wengi hatupendi ukweli. Mara zote tunapenda mambo marahisi…

Subscribe