HATUA YA 249: Kwanini Unahitaji Watu wote? (Wanaokupenda na Wasiokupenda)

#SITAISHIA_NJIANI ✈-Napiga hatua kuelekea mafanikio yangu. ❗-Navumilia kila hali na changamoto nitakayopitia njiani. ?-Najifunza kila siku na kuweka kwenye matendo yale ninayojifunza. ??-Naweka juhudi na bidii kwenye kila ninachokifanya kwa mikono yangu. Mafanikio ni Haki Yangu. Eeh Mungu niwezeshe. ?Mimi ……… Unawahitaji watu wote kwenye maisha yako kwasababu kila mtu ana jambo akilifanya kwako lin…

HATUA YA 248:  Unaambatana na Nani?

Ni bora mara elfu kukaa ndani peke yako kuliko kuambatana na marafiki wapumbavu. Ni bora kuishi ndani ya nyumba peke yako kuliko kujichanganya na makundi yasiyofaa. Haijalishi una maono makubwa kiasi gani, au ndoto kubwa kiasi gani unaweza kuharibu mwelekeo wako kwa kupitia aina ya makundi unayoambatana nayo. Kuna watu hawakufai hata kidogo kwenye maisha…

USITAZAME LEO

Leo vita ni vingi sana, Leo hakuna mavuno bado. Leo wanakusema wengi Leo inaonekana kama ni ngumu sana. Leo inaonekana kama utakwenda kushindwa. Leo inakatisha tamaa sana. Leo unatoka jasho jingi sana. Leo unatumia nguvu nyingi sana.   Ukitazama leo utakata tamaa Ukitazama leo utarudi nyuma. Ukitazama leo utayaona magumu. Itazame ndoto yako. Yatazame mazao…

#USIISHIE_NJIANI: Hali Mbaya Uliyonayo Inasababishwa na Hiki

Leo jioni nikiwa nazishika ndevu zangu ghafla katika fikra yakanijia maneno ambayo niliambiwa miaka karibia kumi iliyopita. Kuna mtu mmoja aliniambia “wewe ukiwa na ndevu utakuwa mbaya sana”. Nikabaki najiuliza kwanini haya maneno yamekuja sasa hivi wakati nashika ndevu? Mbona ni muda mrefu sana umepita na nilishayasahau kabisa? Nikagundua kwamba maneno uliyonenewa na watu yanabaki…

#USIISHIE_NJIANI-  Jawabu la Unachokitaka ni Hili hapa.

Penda kujipa muda wa kusubiri matokeo unayoyataka wakati unayafanyia kazi. Bahati mbaya hatuna kipimo maalumu cha muda ili uwe na uhakika wa unachokisubiria. Kama mwanamke amebeba ujauzito inafahamika kabisa ni baada ya miezi tisa atajifungua. Na endapo itatokea tofauti na hapo muda ukizidi tunaanza kupata wasiwasi. Kwenye mafanikio hakuna mahesabu ambayo yapo na uhakika kabisa…

#USIISHIE_NJIANI- Kujionyesha na Uhalisia.

Haina maana yeyote kama watu watajenga picha kubwa kwako kutokana na namna unavyopenda kujionyesha halafu uhalisia ukawa ni tofauti kabisa. Ni vizuri sana ukaishi vile unavyopenda lakini ni vyema ukakubali kulipa gharama za hayo maisha kwanza ndipo uje kufurahia baadae. Ni kichekesho sana kama utakuwa unatamani watu waone unaishi maisha mazuri wakati kwa ndani unateseka…

#USIISHIE_NJIANI: UTAONDOKA PEKE YAKO.

Habari rafiki. Kitu ambacho hupaswi kukisahau ni kwamba hapa duniani ipo siku utaondoka. Na kitu cha kukumbuka Zaidi ni kwamba utaondoka peke yako. Wale wote uliokuwa unawaonea aibu, unaona kwamba watakusema vibaya, wataona umejishusha hadhi kwa kufanya kile unachokitaka hutaondoka nao. Inawezekana ukawaacha duniani au wakakutangulia. Sasa nikwambie rafiki hii ni dunia kila mmoja alikuja…

#USIISHIE_NJIANI: JIPE MUDA.

Habari Rafiki. Chochote unachokifanya sasa hivi kabla hujaanza kukata tamaa hakikisha umejipa muda wa kutosha. Jipe muda ambao utafanya kazi kwa bidi, utajenga mtandao mkubwa wa watu wanaofahamu unachokifanya. Jipe muda wa kujifunza na kuona kule unakotaka kufika. Shida kubwa ipo kwa watu wasio na maono makubwa wanataka pesa za haraka. Unaanza biashara au wazo…

Subscribe