#HEKIMA YA LEO: Kipimo Cha Ukomavu.

Kipimo cha Ukomavu wako kinatokea pale ambapo unatakiwa uwatendee mema watu ambao hawastahili kabisa katika akili za kibinadamu.  Watu wengi hushindwa mtihani huu. Kuwa mwema hata kwa Waliokuumiza sana. Waliokusaliti kwenye mambo makubwa. Wabaya wako ambao ulisema hutakaa uwasamehe kabisa. Hawa watu mara nyingi wanapokuja kwetu kutuomba msaada tunaweza kuwatendea ubaya kama malipo. Lakini kwa…

#HEKIMA YA LEO: Kama Hufurahi Wewe Huishi.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Maisha ni kufurahi, haina maana kwamba utakuwa unapitia mambo ya kukufanya…

#HEKIMA YA LEO: Njia Rahisi Inaweza Kugeuka Kuwa Ngumu Sana.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Watu wengi hutafuta njia rahisi za kufanya mambo yao, sasa tatizo…

HATUA YA 313: Historia Itakuhukumu.

Kuna mambo ambayo tunafanya sasa wakai mwingine tunaweza kuwa tunabishana sana juu ya nani yupo sahihi na nani amekosea. Ukweli unaweza usielewe kwa haraka kwasababu wengi wanaweza kutumia mapenzi binafsi na kuangalia kile wanachokipata kwa wakati huo. Mambo mengine yakiwa magumu katika kuujua ukweli tunaachia muda kadiri muda unavyokwenda ndio tutajua nani alikuwa mkweli na…

#HEKIMA YA LEO: Jenga Mtazamo Wa Ushindi.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Mambo mengine yanakuwa magumu kwasababu mtazamo wako unavuta ugumu. Inakupasa kutengeneza…

HATUA YA 312: Njia Rahisi Zaidi.

Kuna wakati mtu anaweza kuja kuomba ushauri halafu akategemea kwamba utampa njia rahisi Zaidi au shortcut ya kutatua changamoto zake. Wakati mwingine unaweza ukapewa njia ngumu Zaidi lakini yenye manufaa kwako wewe mwenyewe. Kutegemea kupewa njia rahisi ndio kunawafanya wengi waache kufanya vitu sahihi na mwishoe kupotea. Kama utategemea upewe muujiza wa kutatua changamoto yako…

#HEKIMA YA LEO: Usibadilike Kwa Ajili Ya Mtu.

Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU NIWEZESHE.” Mojawapo ya watu ambao wanaishi kwa mateso duniani na huzuni ya…

Jacob Mushi

Afya, Hekima na Utajiri

Skip to content ↓