#HEKIMA YA LEO: Kubali kufundishwa

Ukijifanya unajua, unakuwa mpumbavu. Maana kujifunza ni kama pumzi ukishavuta lazima utoe iliyochafuka kisha uvute tena. Ukikubali kuwa mwanafunzi ndio utaona sehemu nyingi ulizokuwa unakosea. Pia Utagundua kwamba bado kuna mambo mengi hujui. Ukikubali kufundishwa unatakiwa ukubali pia kukosolewa. Unapokuwa na Mwalimu wako akakwambia hapo umefanya vibaya kubali usichukie ili uweze kujifunza zaidi. Wanadamu tunapenda…

#HEKIMA YA LEO: Kimbizana Na Ndoto Zako.

Hello, Unatumia Mtandao wa Instagram? Bonyeza hapa uni follow ili upate madini ninayoweka kila siku… http://www.instagram.com/jacobmushi Wakati wengine wanakimbizana na fasheni mpya wewe Kimbizana na ndoto yako. Wakati kila mmoja anataka kujionyesha kwa watu, wewe onyesha ndoto zako. Wakati wengine wanakimbizana na matukio wewe Kimbizana na bidhaa zako. Acha kufuata mkumbo, maisha yako sio ya…

#HEKIMA YA LEO: Tafuta Kawaida Nyingine Kila Wakati.

Bonyeza hapa upate offa ya Vitabu Bora Mwezi April. https://jacobmushi.co.tz/offa-offa-offa-ya-vitabu-bora-mwezi-april/ Tafuta kawaida nyingine kabla hiyo uliyoipata hujaizoea. Mwanzoni unaweza kuona kuna ugumu wa kutimiza jambo Fulani lakini ukishalitimiza unaanza kugundua kumbe ilikuwa ni hivi. Mtoto anapoweza kutambaa hatakiwi kubakia kwenye kutambaa yaani akishazoea tu kutambaa basi anatakiwa aanze kujifunza kusimama na kisha kutembea na kukimbia…