Kiumbe hai chochote kina Hatua mbalimbali za ukuaji ambazo kinapitia hadi kufikia sehemu ambayo inakuwa ni ya ukomavu. Ili kiumbe hiki kije kuwa na mwisho mzuri lazima Hatua hizi zifuatwe kwa utaratibu. Huwezi kusema umepanda mahindi leo na ukayawekea mbolea na dawa le oleo ili yakue kwa haraka. Ukikimbilia kuyawekea mbolea mapema au ukayanyeshea maji…
All posts in HATUA ZA MAFANIKIO
HATUA YA 351: Ukianza Kuona Una Sababu Nyingi…
Mwanadamu siku zote hapendi aonekane anahusika na makossa yake mwenyewe. Na inapotokea amekosea au ameshindwa jambo Fulani anatafuta mtu wa kumbebesha yale makossa yake. Tangu mwanzo wa kuumbwa kwa dunia tunaona Adamu na Hawa walipopatikana na kosa la kula tunda la mti walioagizwa wasile kila mmoja alianza kutoa sababu za kwanini alifanya vile. Adamu ambaye…
HATUA YA 350: Kama una Imani ya Aina Hii Utapata Tabu Sana.
Imani huja kwa kusikia, tunasikia vitu vingi sana tunavyovihitaji na tusivyovihitaji kabisa kwenye maisha yetu. Kile unachokipa nafasi ya kukisikia zaidi kinajenga imani ndani yako. Kama unafuatilia kufanikiwa, unasikiliza na kusoma mafundisho ya mafanikio unajenga imani katika Mafanikio. Kama utawekeza muda wako katika kufuatilia bahati nasibu, kubeti, kufanikiwa kwa ghafla na imani yako itajengwa huko.…
HATUA YA 349: Umeshawahi Kukutana na Mtu wa Aina Hii?
Soma Vitabu Hivi; MAFANIKIO KWENYE BIASHARA SIRI 7 ZA KUWA HAI LEO USIISHIE NJIANI TIMIZA NDOTO YAKO. MBINU 101 ZA MAFANIKIO UMUHIMU WA MAONO. Kuna aina mbalimbali za watu hapa duniani wenye kila aina ya tabia. Kuna aina ya watu ambao ukikutana nao ukakaa nao dakika chache unapoteza mwelekeo kabisa wa Maisha yako. Watu hawa…
HATUA YA 348: Hii Ndio Njia Bora Kupima Mafanikio Yako.
Mara nyingi tumekuwa tunafanya mambo kwasababu ya mifumo tuliyoikuta na kuambiwa ni sahihi lakini si kweli. Ukiwa shuleni mnapewa mtihani mmoja wanafunzi 100 na mnapimwa viwango vyenu vya mafanikio kwa mtihani mmoja. Lakini ukweli ni kwamba unaweza kupata sifuri kwenye mtihani lakini bado kuna jambo jingine unaweza kulifanya vizuri kuliko wale wenzako 99. Inawezekana wewe…
HATUA YA 347: Vita Inapokuwa Ngumu..
Ukiona ugumu unazidi tambua ya kwamba ndio mwisho wa pambana unakaribia. Ukiona changamoto zinazidi kuwa nyingi basi ujue kuna sehemu unakaribia kuvuka. Mbegu ikifukiwa chini baada ya muda huanza kuota wakati wa kuota sio wa mchezo. Ni mapambano kati ya mbegu inayojitoa kutoka kwenye maganda yake na kukutana na ardhi kwa juu. Lazima ikubali kusukuma…