HATUA YA 24: Kwanini Ulizaliwa Mwanadamu?

Leo nataka ujiulize kwanini Mungu alikuumba wewe mwanadamu na wala sio kiumbe kingine chochote? Ukijua hivyo huwezi kujidharau! Ukijua hivyo huwezi kujifananisha na wengine! Ukijua hivyo huwezi kukubali kushindwa! Ukijua hivyo huwezi kukata tamaa kirahisi! Utajua unapoelekea! Utajua watu wakuambatana nao!  Utajua ni vitu gani vya Kusoma! Mnyama wa kawaida hua anawaza vitu viwili tu…

HATUA YA 23: Unataka kwenda Mbali au Unataka Kufika Haraka?

Kuna msemo mmoja unasema kwamba “Kama unataka kufika haraka nenda/tembea mwenyewe. Kama unataka kufika mbali usiende peke yako nenda pamoja na wengine.  “If you want to go quickly, go alone. If you want to go far, go together.” Ukienda peke yako Hutafika mbali, hutaenda mwendo mrefu utachoka. Kama safari yako ni ndefu usichague kwenda peke…

HATUA YA 46: Ukweli Utakuweka Huru.

Kuna msemo mmoja unasema ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu. Walisema hivi kwa sababu ukidanganya halafu ukasahau ulichodanganya huwezi kuwa huru. Ukidanganya mara ya kwanza itakubidi udanganye mara ya pili. Uongo ni tabia mbaya sana ndio maana ulipokuwa mdogo ulichapwa sana pale ulipodanganya. Ukweli Utakuweka Huru kwa sababu huna haja ya kukumbuka ulichokisema. Mara zote unapokuwa…