Wakati mwingine mafanikio huwa hayaji hivi hivi. Lazima ukubali kufanya vitu vya tofauti.. Lazima ukubali kujinyima baadhi ya vutu vinavyoweza kuwa sababu ya wewe kurudia hali ya zamani.Huwezi kuniambia aina ya maisha unayoishi sasa hivi yanaweza kuwa mwanzo. Jinyime starehe zisizo na lazima. Kaa mbali na watu ambao hukufanya utumie pesa ambazo hukupanga. Jinyime…
All posts in HATUA ZA MAFANIKIO
HATUA YA 97: Kubali kupata Hasara hii…
Biashara nyingi zinazoendeshwa mara nyingi mwenye biashara lengo lake ni apate pesa tu. Kama wewe una mtazamo wa aina hii kwenye biashara utachukua muda mrefu sana kufikia mafanikio au kukua zaidi ya hapo ulipo. Ni kweli pesa inahitajika ili biashara ikue. Ni kweli bila pesa hakuna biashara. Lakini sasa kama wewe utakuwa unatazama pesa tu…
HATUA YA 96: Jitafute Mwenyewe Kwanza.
Kama bado hujajitafuta na kutambua wewe ni nani huwezi kujua watu wapi ni sahihi kwenye Maisha yako. Kazi ya kwanza ambayo unapaswa kuanza kuifanya ni kujitafuta wewe mwenyewe. Maisha ya watu wengi yamekuwa magumu sana kwasababu walianza kutafuta watu Fulani kwenye Maisha yao kabla hawajajitafuta wao. Kama hujajitambua wewe ni nani utakuwa ni mtu…
HATUA YA 95: Amua Kuanza Sasa..
Unaweza kupoteza vyote lakini huwezi kupoteza uwezo ambao Mungu ameweka ndani yako. Unaweza kupoteza cheti cha chuo lakini uwezo na maarifa yaliyoko kichwani bado yana uwezo wa kukufanikisha. Kuna wakati unaweza kujiona wewe huna chochote kwenye ulimwengu huu. Ukajishusha thamani kabisa na kujiweka katika kundi la watu wa kawaida sana. Lakini ukasahau ulizaliwa peke yako…
HATUA YA 94: Thamani ya Kitu…
Mara nyingi wanadamu tunatafuta vitu kwa nguvu kubwa sana. Huku tukiwa na mawazo kwamba baada ya kuvipata tutavifurahia sana. Kitu cha ajabu ni kwamba baada ya kuvipata tulivyokuwa tunavitafuta tunaanza kuona kama vile havitoshi tena. Tunaanza kuhamisha tena mawazo yetu kwenye vitu vingine ambavyo hatuna kisha tunaanza kuvitafuta tena. Hali hii imekuwa sababu ya watu…
HATUA YA 93: UKosefu wa Nidhamu..
Tulipokuwa shuleni tulikuwa na mwalimu wa nidhamu. Kazi ya mwalimu huyu alikuwa anahakikisha tunakuwa na tabia ambazo haziwezi kuleta uharibifu shuleni. Hata kama shule iwe ni ya watu wa aina gani lazima kitengo cha nidhamu kiwepo. Ukija kwenye uaskari na jeshini vilevile kuna vitengo vya nidhamu. Lengo la vitengo hivi ni kwa ajili kuhakikisha watu…