“All you need in this life is ignorance and confidence; then success is sure.” ― Mark Twain Samuel Langhorne Clemens ambaye anajulikana zaidi kwa jina la Mark Twain aliwahi kusema; kitu ambacho unakihitaji kwenye Maisha yako ili ufanikiwe kwa hakika ni ujinga na ujasiri. Hii ina maana ya kwamba wewe ukubali kwamba hujui chochote halafu uwe…
All posts in HATUA ZA MAFANIKIO
HATUA YA 296: Vile Unavyofikiri Juu ya Vitu Ndio Inaamua Furaha au Huzuni.
Very little is needed to make a happy life; it is all within yourself, in your way of thinking. -Marcus Aurelius. Mwanafalsafa huyu anatuambia ni vitu vidogo sana vinakukuhitaji ili uwe na furaha ya Maisha, na vitu hivyo vipo ndani yako katika namna unavyofikiri. Furaha au huzuni hailetwi na matukio yanayotokea bali ni namna ambavyo…
HATUA YA 295: Hakuna Chenye Thamani Kinachopatikana Bila..
I never did anything worth doing by accident, nor did any of my inventions come by accident; they came by work. Plato Sijafanya kitu chochote kilicho cha thamani katika kufanya kwa ajali, wala hakuna uvumbuzi wangu uliokuja kwa ajali; vyote vilikuja kwa kufanya kazi. Plato Hii inatuonyesha kwamba chochote kile ambacho unafikiri kina thamani kubwa…
HATUA YA 294: Unaposhindwa Jambo Unagundua Hiki..
Sometimes by losing a battle you find a new way to win the war. Donald Trump. Kwenye moja ya vitabu vya Rais wa Marekani Donald Trump amewahi kusema kuna nyakati tunaposhindwa ndipo tunapata njia za kushinda vita. Wakati mwingine tunayachukua makossa yetu na kuyafanya kama alama mbaya juu yetu. Hii inatokana na namna ambavyo uliambiwa…
HATUA YA 293: Ulichonacho Sasa Ulishawahi Kutamani Kuwa Nacho.
Do not spoil what you have by desiring what you have not; remember that what you now have was once among the things you only hoped for. -Epicurus Moja ya mambo ambayo yanawafanya watu washindwe kuishi Maisha ya furaha hapa duniani ni kutokujua ni vitu gani wanataka. Unaweza kukuta mtu anapata kila anachokitafuta lakini bado…
HATUA YA 292: Ni Rahisi Sana Lakini…
Ni rahisi sana kulalamika Maisha ni magumu, Ni rahisi sana kutoa sababu nyingi zilizofanya ushindwe, Ni rahisi sana kuendelea kuishi Maisha yale yale uliyoyazoea, Ni rahisi sana kutumia muda wako kufanya mambo ambayo hayana mchango wowote kwenye Maisha yako. Ni rahisi sana kutumia muda wako kufuatilia Maisha ya wengine na huku ukiwa umeyasahau ya kwako.…