Mojawapo ya sababu ambazo zinawafanya watu waharibu kazi za wengine ni kufanya kazi huku mioyo yao iko sehemu nyingine kabisa. Wewe umekuwa mwalimu kwasababu uliona ndio utapata kazi kirahisi lakini moyo wako uko kwenye kilimo siku zote utakuwa ni mwiba kwa wanafunzi. Biashara nyingi zimekosa maendeleo n ahata mafanikio kwasababu ya hawa watu ambao wanafanya…
All posts tagged mafanikio
HATUA YA 257: Kuna Mtu Katoka Jasho.
Kuna msemo wa wahenga unasema ukiona vyaelea ujue vimeundwa. Yaani chochote kile unachokiona kimependeza kwa nje unatakiwa ujiongeze kwamba kuna watu tena inawezekana wasiojulikana wamekifanyia kazi kwa wakati usiojulikana hadi kikaanza kuonekana kwa nje ni kizuri. Sasa wewe kwa tamaa zako unataka ukipate kile ambacho wenzako wamekifanyia kazi kwa muda mrefu sana hadi ukaanza kuvutiwa…
HATUA YA 256: Dunia Inakuhitaji?
Ni vyema kujiuliza na kujijibu kama kweli dunia inakuhitaji uendelee kuwepo hapa duniani. Lazima ujiulize hivi siku ukiondoka ni wakina nani wataguswa sana na kifo chako? Ili ujue ni kwa kiasi gani unahitajika hapa duniani lazima utambue ni thamani gani unatoa kwa dunia. Ni vitu gani vinatoka ndani yako na vinaleta matokeo na mabadiliko hapa…
HATUA YA 255: Unataka Kwenda Hatua Nyingine?
Unataka Kwenda hatua ya juu Zaidi? Lazima ukubali kupitia mitihani ya kukupima kama unaweza kukaa kwenye hatua inayofuata. Kama hutaki kupita kwenye mitihani huwezi kupanda hatua nyingine. Kama hutaki kupimwa hutaweza kuingia kwenye hatua za juu Zaidi utabaki hapo ulipo kwa muda mrefu Zaidi. Ukiona unabaki sehemu moja muda mrefu kuna uwezekano kuwa unafeli mitihani.…
HATUA YA 254: Huwezi Kupokea Mabadiliko kwenye Akili ya Zamani.
Kama wewe ni mtumiaji wa simu na unatumia hizi apps najua utakuwa umekutana na kitu kinakwambia update. Maana yak update ni kama kuboresha au kuongeza kitu kipya kwenye ile apps ya zamani. Watengenezaji wa apps hizi wanakuwa wameweka mambo mapya ndani ya apps sasa ili uyaone na kuyatumia hayo mambo mapya au muonekano mpya lazima…
HATUA YA 253: Hizi Ndio Nyakati za Kujua Kwanini Ulianza Unachokifanya.
Kwenye maisha kuna nyakati huwa zinatufikia ambazo zinakuwa ni kipimo ambacho kinaonyesha ukweli wa makusudi yetu kwa yale tuliyokuwa tunataka au tayari tunafanya. Unaweza kukutana na changamoto kubwa kiasi kwamba ukafikia hatua za kusema kama hali ni hii basi sifanyi tena hiki kitu. Lakini ukweli unabaki pale pale kwanini uliamua kufanya? Kabla hujakata tamaa ni…
HATUA YA 252: Uko Hivyo Ulivyo Kwa Kuamua.
Wako waliopitia changamoto kubwa kuliko wewe lakini hawajakata tamaa. Wako ambao walipata hasara kubwa sana kuliko hyo ambayo unajitetea nayo lakini bado wakasonga mbele na sasa tunazungumzia mafanikio yao makubwa. Wako waliochwa na waale waliowapenda sana lakini hiyo haikuwa sababu ya wao kuacha kutimiza ndoto zao bado wakasonga mbele tu. Hiyo kwao haikuwa sababu kubwa…
#USIISHIE_NJIANI: ONA VITU KABLA HAVIJATOKEA.
Ili uweze kupata chochote unachokitaka lazima uanze kuona kwenye akili yako kabla hakijatokea kwenye uhalisia. Anza kutengeneza picha ndani ya fikra zako ndipo utaweza kupata kwenye uhalisia. Hakuna kitu kinatokea chenyewe kwenye maisha yako kama ajali lazima uanze kutengeneza picha na uifanyie kazi picha hadi itokee. Unajua muujiza unatokea bila ya sisi kutarajia au pale…
HATUA YA 251: Madhara ya Kuupuzia Vitu Vidogo Vidogo.
Tofali hujengwa kwa mkusanyiko wa punje moja moja za mchanga ambazo unaweza kuzibeba mkononi mwako lakini hujenga tofali ambalo huwezi kulibeba kwa mkono mmoja. Tofali nalo hujenga ghorofa kubwa sana ambalo binadamu na mali nyingi za thamani hukaa humo. Hadi unaliona jengo kubwa la ghorofa linalotokea lilianza kwa mkusanyiko wa punje ndogo sana ya mchanga.…
HATUA YA 250: Mambo 4 ya Kufanya ili Kujenga Mahusiano Bora na Wengine.
Maisha yako hapa duniani ni kwa ajili ya wengine. Haiwezekani ukaishi maisha ya furaha na Amani kama hakuna unachokifanya kwa ajili ya kugusa maisha ya wengine. Tumeumbwa katika maisha ya kutegemeana. Kila mmoja anamhitaji mwenzake ili maisha yake yawe bora. Daktari hawi daktari ilia je ajitibu yeye ila ni kwa ajili ya maisha ya wengine.…