HATUA YA 127: Mifuko Iliyotoboka.

Fedha hazikai kwenye mifuko iliyotoboka. Vitu vya thamani haviwekwi kwenye mifuko iliyotoboka. Mwenye Mifuko iliyotoboka anaishi kwa wasiwasi maana muda wowote akijisahau anaweza kupoteza vitu vyake vya thamani. Usikubali kuwa mtu mwenye mifuko iliyotoboka. Mifuko ninayozungumzia mimi ni mifuko iliyondani ya ufahamu wako. Kama ufahamu wako kwenye upande wa fedha umetoboka huwezi hata siku moja…

HATUA YA 126: Zifahamu Tabia 3 za Watu Waliofanikiwa..

Habari rafiki, natumaini unaendelea vyema na safari hii ya mafanikio. Karibu sana kwenye hatua ya leo tujifunze pamoja. Leo tunaangalia  tabia tatu ambazo wenye mafanikio makubwa huwa nazo. Kama wewe ni mmoja wa watu ambao wanatamani kufikia mafanikio makubwa basi ni muhimu ukajifunza.   Wanadhibiti Hisia Zao. Watu wenye mafanikio makubwa siku zote wana uwezo…

HATUA YA 124: Watu Hawa Kuwa Nao Makini.

Habari rafiki yangu. Karibu katika hatua ya leo ya mafanikio. Ndugu Zako Wa Karibu. Hawa ni watu wa kuwa nao makini sana kwasababu wanaweza kuwa sababu yaw ewe kurudi nyuma. Kuna wakati unaweza kuhitaji ushirikiano wao labda mchango wa mawazo au pesa ili kukamilisha jambo Fulani wakashindwa kukuelewa. Inawezekana sababu ikawa ni hawaamini kile unachokwenda…

HATUA YA 123: Waambie Wasikupangie

Wewe ndio unajua unakoelekea kuna wakati unaweza kufanya mambo huku unawaza watu wanasemaje. Mfano watu wengi tafsiri ya mtu mwenye mafanikio ni mwenye gari au aliejenga nyumba yake nzuri. Lakini tafsiri ya mafanikio kwako wewe unatakiwa uitengeneze mwenyewe. Ukishindwa kuwa na maana yako ya mafanikio kutokana na yale unayoyafanya Maisha yako yanaweza kuwa ya kuwaridhisha…