HATUA YA 382: Njia Pekee ya Kuiponya Dunia Hii.

Pamoja na matukio maovu ambayo yanaendelea kila siku hapa duniani, tunasikia watu wanauwawa kinyama, wengine wanafanyiwa Matendo mabaya sana kama ubakaji, na mengine unayoyafahamu ipo njia moja ambayo kila mmoja akiweza kuifanya anaweza kuiponya dunia. Pamoja na kuwa mambo haya yanaumiza sana kiasi kwamba unaweza kuwaza kufanya mambo mabaya sana lakini hiyo haitasaidia maana ukifanya…

HATUA YA 379: Ni Kipi cha Muhimu Kwenye Maisha Yako?

Kipaumbele kikubwa kwenye Maisha yako ni kipi? Ndugu yangu kama huna kipaumbele kikuu cha Maisha ambacho ndio kinakuwa sababu ya wewe kuamka mapema, kufanya kazi kwa bidii utakuwa unapoteza muda. Lazima Rafiki uwe una kitu cha muhimu la sivyo Maisha yako yatakuwa ni dharura tu. Usiishi Maisha ya kufanyia kazi vitu vya dharura vinavyotokea kwenye…

HATUA YA 378: Kama Ukiamka Asubuhi Unafanya Kitu Hiki, Upo Kwenye Hatari Kubwa Sana.

Muda wa asubuhi ndio wakati ambapo akili yako inakuwa na uwezo Mkubwa sana wa kufikiri na kufanya maamuzi magumu. Kama ukiweza kuutumia muda huu vizuri kufanya yale ya muhimu kwenye Maisha yako utakuwa na maendeleo makubwa sana. Watu wengi wanapoamka asubuhi kitu cha kwanza kufanya ni kushika simu zao kuangalia ni nani amewapigia au kuwatumia…