HATUA YA 191: Usiishi Maisha ya Dharura.
Kuna dharura zinajitokeza wakati upo kwenye shughuli zako na kuna dharura zinatokea na wewe upo upo tu hujui cha kufanya. Kama utashindwa kutofautisha vitu vya dharura na vitu vya muhimu kwenye Maisha yako utajikuta unapoteza mwelekeo wa Maisha yako. Vitu vya dharura ni vitu vile ambavyo mara nyingi vinajitokeza kwenye ratiba yako na hukuwa umevipangilia.…