521; HEKIMA: Serikali Yako Ina Sheria na Taratibu?

521; HEKIMA: Serikali Yako Ina Sheria na Taratibu?

Kila serikali huendeshwa kwa sheria na taratibu mbalimbali ambazo huwezesha watu kuishi kwa pamoja na kupunguza matatizo mbalimbali. Nimejiuliza kama mpaka sasa kungekuwa hakuna serikali, wala mipaka ya nchi yaani mtu peke yake anaibuka tu anafanya kila anachotaka tungekuwa wapi? Ukweli ni kwamba kuna vingi tungekosa na kuna vingi vingepotea. Sasa kama ni hivyo wewe…

520; HEKIMA: Kwanini Wengine Wanashinda?

520; HEKIMA: Kwanini Wengine Wanashinda?

Ni kwasababu wameamua kulipa gharama, Ni Kwasababu wameamua kujitoa kwa kila namna, Ni kwasababu wameamua na wapo tayari kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza. Ni kwasababu wamebadili mitazamo yao kutoka vile walivyokuwa mwanzo na sasa wana mitazamo kama wale waliofika mbali zaidi. Ni ukweli huo rafiki kama haupo tayari kulipa gharama huwezi kupata kile unachokitaka. Kama…

HEKIMA 518; Usipokee wala Kutoa Ushauri Wowote.

Kulikuwa na Bwana Mmoja alikuwa anafanya biashara ambayo inamlazimu sana kuzungumza na watu kila wakati. Yaani ili auze lazima aongee na mtu. Sasa kwasababu hiyo akajikuta anashauriwa sana na watu wengi. Kila mtu anaekutana nae anajaribu kumwelekeza njia nzuri ya kuifanya biashara yake. Siku moja akatafuta mtu mwenye hekima ili amshauri juu ya ushauri anaopokea…

517; Kupanga ni Rahisi, Kazi Kutekeleza.

Imekuwa ni kawaida sana kila Tunapouanza mwaka mpya kila mmoja hukimbizana na kupanga malengo ya mwaka mpya. Kuna wanaojua kupanga vizuri sana, kuna ambao hawajui hata kupanga wanaishia tu kusema, kuna wale wanapanga waandika lakini mwezi wa pili ukifika ukiwauliza waliandika wapi hawajui tena. Wewe binafsi unajijua upo kundi gani, yote hayo ni mazuri kabisa…

516; Nimegundua Njia ya Kutatua Tatizo lako la Kutofikia Malengo Yako Ya Kifedha.

Habari Rafiki, unajua matatizo mengi uliyonayo yanasababishwa na ukosefu wa fedha za kutosha. Na kinachosababisha haya yatokee kwako ni wewe pale unapokosa vitu vichache sana vya kufanyia kazi. Leo nakwenda kukuonesha suluhisho la tatizo lako la kutokufikia malengo ya kifedha. Ni kweli inawezekana kabisa Januari yam waka 2021 ikawa njema Zaidi kwako kwasababu tu utaweza…

515; Sehemu 3 Muhimu sana za Kuwekeza kwenye Maisha Yako Kila Siku.

Hello Rafiki yangu, leo ni siku ya kumi yam waka 2020 siku zinaendelea kukatika bado kidogo tutasikia mwaka upo nusu. Je bado waendelea kusubiria kidogo ndio uanze kufanya mambo yako? Rafiki yangu utachelewa sana kama hutakuwa mtu wa tofauti. Mwaka mpya bila ya akili mpya mtazamo mpya, hakuna kitakachobadilika. Aya ngoja niachane na hayo usije…

Jacob Mushi

Afya, Hekima na Utajiri

Skip to content ↓