#Siri ya Mafanikio

Chochote Unachokitaka kipo ndani yako. Ili uweze kukipata unaanza kwa kuamini.Unapoamini unakua na uhakika.Imani yako itakua kutokana na matendo yako kila siku juu ya kile ukitakacho. Imani ikiwa kubwa zaidi ndio unavyokaribia kufikia  yale unayoyataka. Heshimu na thamini sana kile ulichonacho sasa hivi maana ndio kinakusitiri leo.  Asikudanganye mtu eti uchukie hali uliyonayo sasa. Mimi…

KESHOKUTWA INAKWENDA KUA NJEMA KWAKO

Maneno mengi uliyoambia tangu ukiwa mdogo kwamba hauwezi, haiwezekani kwenu ni maskini, kwenu wote hawajawahi kufaulu. Ukaonyeshwa hata na watu wako wa karibu kama wajomba mashangazi mama wadogo na wakubwa, kaka zako, waliojaribu wakashindwa huwezi kuyaondoa kwa siku moja. Maneno hayo yamejishika katika ufahamu wako hivyo wakati mwingine yanakurudisha nyuma. Kuna wakati unapitia hali ngumu…

USITAZAME NYUMA

Ulikotokea hakuna maana kubwa sana kama unapoelekea, haijalishi una historia ya aina gani bado unaweza kuibadilisha leo. Acha kurudi nyuma na kuangalia kule uliwahi kushindwa, maisha yanaweza kubadilika kwa vyovyote vile unavyotaka. Unaweza kutengeneza tena leo haijalishi wiki iliyopita ulikosea kiasi gani kama bado upo hai una nafasi ya kubadilisha  baadae yako. Inawezekana watu wanakusema…

#Kujua Unachokitaka na kukifanyia Kazi

 Ili uweze kua na ndoto,  maono,  malengo,  mipango,  au chochote kile Unachokitaka kwenye maisha yako.  Ni lazima kwanza uanze kujua unataka nini.: Bila kujua unataka nini  utajikuta kila kinachokuja unafanya.Tuna wanafunzi walio maliza form six na wengine watakwenda kumaliza form four: Mara nyingi nimekua naona wengi wanafanya maamuzi tu kwa kile kilicho kirahisi.  Mfano  umepata…

Watu 3 muhimu kua nao kwenye safari ya mafanikio

Tupo kwenye dunia ambayo tulikuta watu na tutawaacha watu. Vyote tulivyovikuta vilianzishwa na binadamu wengine wenye mawazo mema na wenye mawazo mabaya pia. Vitu vingi tunavyovifanya tunaendeleza tulivyovikuta ni mara chache kukuta kitu kipya ambacho hakitegemei mazingira na asili ya tulivyovikuta. Hivyo basi kwa vyovyote vile unahitaji mtu wa kukuongoza au kuku Coach ili ufanikiwe…

Hapa Ndipo Unapokosea.

Haiwezekani wewe unatamani kuja kua Mwimbaji bora wa kimataifa halafu muda wako mwingi ukautumia kufuatilia siasa zaidi. Haiwezekani wewe unatamani kuja kua mfanyabiashara mkubwa halafu muda wako mwingi unafuatilia mpira. Unawajua wachezaji bora kuliko wafanyabiashara bora. Huko ni kupoteza muda tumia muda mwingi zaidi kwenye kile unachotaka kuja kua. Tafuta na fuatilia taarifa nyingi zaidi…

Jacob Mushi

Afya, Hekima na Utajiri

Skip to content ↓