Upo hai leo ili ubariki wengine usikubali kua mtu wa makwazo juu ya wengine. Usikubali kua mkosoaji kwa kila kitu mtu anachokifanya bali jaribu kua mshauri tia moyo wengine. Usikubali watu walalamike kua wewe ndio sababu hasa ya kushindwa kwao. Maneno ya kinywa chako yawe baraka yatie moyo wengine yawainue wengine pale wanaposhindwa. Mtu akipitia…
All posts in USIISHIE NJIANI
Kijana una Fursa za kipekee sana. Muda, Nguvu, na Uwezo wa kufikiri.
Habari za leo ndugu msomaji wa makala hizi. Jana nimepokea ujumbe kutoka kwa rafiki yetu ambaye hua anasoma makala hizi kila siku. Akaniomba niandike kuhusu vijana. Kijana tunaweza kusema ni mtu mwenye umri kuannzia miaka 18 hadi 40. Hivyo kama upo hapo lazima uzitumie vyema fursa hizi. Leo tutaangalia Fursa tulizonazo sisi kama vijana na…
Upo hai ili kulitimiza Kusudi.
Kusudi ni nini?Kusudi ni ile sababu hasa ya kitu kuwepo. Bila Kusudi kuwepo kwa kitu hakuna maana. Kitu cha kwanza cha kutambua kwenye maisha yako ni upo duniani kwa Kusudi lipi. Ukiweza kutambua na ukaanza kuliishi Kusudi hilo maisha yako yatakua ya furaha. Mojawapo ya vitu vinavyowafanya watu wasiwe na furaha duniani ni pale wanapotoka…
Una kitu kikubwa sana ndani yako.
Una uwezo mkubwa sana ndani yako, haijalishi upo kwenye haali gani sasa hivi. Una uwezo wa kufanya mambo makubwa sana, haijalishi huna nini sasa hivi. Una nguvu kubwa ya kuibadili dunia, haijalishi watu hawakuelewi kwenye kile unachowaambia. Una nafasi ya kuacha historia mpya, haijalishi umefanya nini, umekosea wapi. Leo ndio siku yako ya kipekee jana…
Wafanyie wengine yale unayopenda kufanyiwa.
Kwenye maisha tuna watu wa aina mbalimbali na wenye tabia tofauti tofauti. Ukiweza kukaa na watu unaweza kujifunza mambo mengi sana kwenye maisha wanayoyaishi. Nimekutana na watu wa aina nyingi sana na wenye tabia tofauti. Tabia moja ambayo leo tutaizungumzia ni hii ya baadhi ya watu kuona kwamba wao peke yao ndio wanastahili kupata vitu…
Hatua za kuchukua kila siku ili kufikia ndoto na malengo yako.
Tumejifunza kuhusu mafanikio na utajiri lakini hivi havitatokea kama huna vitu ambavyo unavifanya kila siku vinavyokuvuta kwenye mafanikio na utajiri. Leo tunakwend kuangalia mambo kadhaa ya kufanya ili ufikie kwenye kilele cha mafanikio. 1. Jifunze vitu chanya vitakavyokuza ufahamu wako kila siku angalau kwa dakika 30. Angalau kwa siku tenga muda wa dakika 30 wa…