Kijana una Fursa za kipekee sana. Muda, Nguvu, na Uwezo wa kufikiri.

Habari za leo ndugu msomaji wa makala hizi. Jana nimepokea ujumbe kutoka kwa rafiki yetu ambaye hua anasoma makala hizi kila siku. Akaniomba niandike kuhusu vijana. Kijana tunaweza kusema ni mtu mwenye umri kuannzia miaka 18 hadi 40. Hivyo kama upo hapo lazima uzitumie vyema fursa hizi. Leo tutaangalia Fursa tulizonazo sisi kama vijana na…

Hatua za kuchukua kila siku ili kufikia ndoto na malengo yako.

Tumejifunza kuhusu mafanikio na utajiri lakini hivi havitatokea kama huna vitu ambavyo unavifanya kila siku vinavyokuvuta kwenye mafanikio na utajiri. Leo tunakwend kuangalia mambo kadhaa ya kufanya ili ufikie kwenye kilele cha mafanikio. 1.  Jifunze vitu chanya vitakavyokuza ufahamu wako kila siku angalau kwa dakika 30. Angalau kwa siku tenga muda wa dakika 30 wa…

Subscribe