Habari, Jipatie kitabu Siri 7 za Kuwa Hai Leo na ujifunze mambo haya yafuatayo. 1. Tambua kwanini upo Hai Leo na uweze kutumia nafasi hiyo kutengeneza Historia mpya ndani ya Dunia hii. 2. Kuna mambo mengi tunayafanya, kupitia Siri hizi utaweza kutambua kwanini unatakiwa umalize ulichokianza. 3. Kwenye Siri 7 pia utajifunza namna ya kutengeneza…
All posts in USIISHIE NJIANI
SIMAMA KWENYE NAFASI YAKO.
Kila mmoja ana kitu ambacho amezaliwa kukifanya hapa duniani. Inawezekana bado hujatambua kusudi la wewe kuwepo hapa duniani. Ni muhimu sana kutambua. Simamia nafasi ya kwa bidii na kwa ubora wa hali ya juu. Upo kwa ajili ya kuonya, onya kwa bidii. Upo kwa ajili ya kufundisha, fundisha kwa bidii bila kuchoka. Umeletwa duniani ili…
Fanya Kama Hutafanya Tena.
Hatuishi mara mbili duniani, ukishaondoka umeondoka. Katika vitu muhimu sana vya kufanya unapofanya chochote ni kukifanya kama hutakaa uje ufanye tena. Kama umekutana na mtu mjali kama vile ndio mara yako ya mwisho hamtakaa muonane tena. Umekutana na fursa ifanye kama vile ndio haitakaa irudi tena. Onyesha upendo wako wote kwa wengine kama ndio mwisho…
FUNGUO: TAARIFA.
Habari za siku ya leo Rafiki natumaini unaendelea vyema.Leo kwenye kipengele cha funguo tunaangalia kitu kinaitwa taarifa. Taarifa ni zile habari au maelezo unayoyapokea. Zipo njia mbalimbali za mtu kupokea taarifa kwa kipindi hiki njia zimekua rahisi sana. Kwa kupitia simu yako ya mkononi unaweza kupokea taarifa za aina zote, kwa picha, kwa sauti, au…
Millionaire Mindset Training
Kokote kule utakapo kwenda utakutana na binadamu wenye tabia za tofauti na kuna kitu cha kujifunza kwao. Wengine watakua wazuri kwako, wengine watakuumiza, wengine hawatajali chochote unachofanya au ulichonacho. Hiyo ni kawaida ya binadamu hata wewe pia kuna unaowaumiza kwa kujua au Bila kujua. Kuna unaowafanya wafurahi kwa kujua au bila kujua. Kuna ambao hujali…
Hakuna wa Kukuzuia
Katika zama hizi za Ulimwengu wa Kiteknolojia mambo mengi sana yamerahisishwa mno. Kwa chochote unachokifanya kama kinahitaji kuwafikia watu njia za kuwafikia zimekua rahisi sana. Kama unatengeneza bidhaa na unataka kuwafikia wateja wengi Zaidi kila kitu unaweza kufanya kwa kupitia kiganja chako. Kama wewe unaimba huhitaji kwenda kuomba redioni tena wapige nyimbo zako unaweza kuzifikisha…