HATUA YA 188: Imani Yako itakuponya au Kukuua.

Vile ulivyo sasa kunatokana na Imani yako juu ya vitu mbalimbali vilivyokuzunguka. Matokeo mbalimbali unayopata kwenye Maisha yako yanatokana na kile unachokiamini. Ukifanya kazi kwa bidii kuliko wengine halafu moyoni mwako unaamini matajiri ni wachawi kamwe huwezi kuwa tajiri. Lazima kwanza uanze na kuamini moyoni mwako kwanza kwamba inawezekana ndipo ukija kwenye vitendo vilete matokeo.…

HATUA YA 186: Usiwe Mmoja Wao.

Usiwe mmoja wao wanaolalamika badala ya kuchukua hatua. Usiwe mmoja wao ambao matatizo yao wenyewe wanatafuta watu wa kuwabebesha badala ya kuyatatua. Usiwe mmoja wao ambao wanafanya mambo kwa kufuata mkumbo. Usiwe mmoja wao hao ambao wanategemea maisha yao yabadikike wakati hakuna wanachokifanya ili kuyabadili.   Ndio rafiki yangu nakwambia usiwe mmoja wa hao wakatishaji…

HATUA YA 185: Vitu Ambavyo Kila Mtu Anaweza Kufanya..

Siku zote kama unafanya kitu ambacho kila mtu anaweza kufanya hakiwezi kuleta mchango mkubwa kwenye maisha yako.  Kama unataka matokeo ya tofauti basi achana na mambo uliyozoea kuyafanya. Watu wengi wanapenda kutoa sababu na kulalamika.  Kila mtu anaweza kusema lakini ni wachache wanaochukua hatua. Kila anaweza kufanya biashara lakini sio kila mmoja anaweza kufanya biashara…