537; Ingia Ndani Zaidi..

jacobmushi
By jacobmushi
1 Min Read

Watanzania wengi ni wavivu sana kusoma, kabla hujaamini picha ya kichwa cha habari inayosambazwa jaribu kutafuta habari nzima uisome na uelewe.

Vichwa vingi vya habari huandikwa kwa namna ya kuvuta wasomaji na bahati mbaya sana wengi wenu huishia kusoma kichwa tu na kufikia hitimisho.

Usiwe mwepesi pia kuamini kila kilichoandikwa kwasababu kwenye ulimwengu wa sasa hivi kila mtu anaweza kuwa na tovuti yake na akaandika mawazo yake.

Hakikisha unachokiamini umekipata kwenye chanzo kinachoamini au umethibitisha kwa kufuatilia sehemu tofauti tofauti.

Kwa kifupi Usikubali Kuwa Mjinga, Usikubali kulishwa ujinga, Tafuta Taarifa sahihi. Tafuta taarifa za Ukweli na Uhakika.

By Jacob Mushi


Discover more from Jacob Mushi

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Share This Article
Follow:
Jacob Mushi is a Tanzanian Author, Minister, Entrepreneur, Founder and CEO of NETPOA.
1 Comment

Andika Maoni Yako Hapa

Discover more from Jacob Mushi

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading